Saturday 18 June 2016

Uchumi na Fulsa

Gas

Tanzania ni kati ya nchi 10 Barani Africa zinazo zalisha gesi asilia. Hii ni imeleta chachu na fulsa nyingi kwa wajasiliamali wa ndani na wa nchi jirani kufanya shughuli za biashara zinazo husiana na gesi.

Pia imeleta changamoto kwa waasiliamali wengine wanafanya biashara ya nishati mbadala kama vile makaa ya mawe, mkaa na nishati ya jua.






No comments: