Sunday 19 June 2016

Terminal III

Serikali ya Tanzania inaendelea na upanuzi wa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Mwl. Julius Kambarage Nyerere (JNIA). Terminal inayo ongezwa ni terminal 3 ambayo itakuwa ya kisasa zaidi na yenye uwezo wa kupokea ndege nyingi kwa muda mfupi na kisasa zaidi.

 MUUNDO ULIOPENDEKEZWA na NDIVYO UTAKAVYO KUWA

Chanzo: http://www.airport-technology.com/news/newsbam-international-to-start-phase-2-terminal-construction-at-tanzania-airport-4708957






UJENZI UNAENDELEA.........

Chanzo: https://www.google.com/search?q=proposed+terminal+3+JNIA&bih=782&biw=1600&source=lnms&tbm=isch&sa=X&ved=0ahUKEwj9nrCN7bTNAhVDVRoKHVuPBhUQ_AUICigD#imgrc=ON0-4NhXutJluM%3A


No comments: